gospel lyrics
chorus
Umeahidi wewe bwana- huniachi
Hadi mwisho wa dahari ulisema huniachi
Wewe ni Mungu uliye mwaminifu siku zote
Mimi ninaiweka imani yangu kwako baba
Nipitiapo maji mengi au moto, huniachi
Unalijua jina langu ewe bwana- huniachi
Unatengeneza njia hata mito kule jangwani
Wewe ndiwe alpha na omega- huniachi,(huniachi)
chorus
uliwalinda wa-isiraeli kule jangwani
Ukamtoa danieli kutoka tundu la simba
Wewe huwainua na wanyonge siku zote
Watuepusha na hatari kila siku usifiwe
chorus
Baba hata mama wanaweza- kunikana
Marafiki nao wanaweza nigeuka
Mara kwa mara maadui wanizunguka
Nitaishi kwa ahadi yako bwana- huniachi huniachi
chorus
Umeahidi wewe bwana- huniachi
Hadi mwisho wa dahari ulisema huniachi
Wewe ni Mungu uliye mwaminifu siku zote
Mimi ninaiweka imani yangu kwako baba
Nipitiapo maji mengi au moto, huniachi
Unalijua jina langu ewe bwana- huniachi
Unatengeneza njia hata mito kule jangwani
Wewe ndiwe alpha na omega- huniachi,(huniachi)
chorus
uliwalinda wa-isiraeli kule jangwani
Ukamtoa danieli kutoka tundu la simba
Wewe huwainua na wanyonge siku zote
Watuepusha na hatari kila siku usifiwe
chorus
Baba hata mama wanaweza- kunikana
Marafiki nao wanaweza nigeuka
Mara kwa mara maadui wanizunguka
Nitaishi kwa ahadi yako bwana- huniachi huniachi
chorus
![]() |
| CLICK TO WATCH VIDEO |

Comments
Post a Comment